DASH COMMUNICATION

DASH COMMUNICATION

ZANELLE BONGO LADIES WEAR

ZANELLE BONGO LADIES WEAR

ANDY BEACH

ANDY BEACH

AK

AK

NASAROG

NASAROG

NAKEMEA MAUAJI YA ALBINO

NAKEMEA MAUAJI YA ALBINO

Baby shop

Baby shop

COCO BEACH

COCO BEACH

RJ

RJ

Home » » JAMANI TUMUOKOE MREMBO AMEUKUMIWA KUNYONGWA 7/JUNE/2013

JAMANI TUMUOKOE MREMBO AMEUKUMIWA KUNYONGWA 7/JUNE/2013

Mrembo Fatma maarufu kwa jina la Brown Berry wa mitaa ya Ilala Jijini Dar es salaam haukumiwa kunyongwa mpaka kufa baada ya kupatikana na madawa ya kulevia nchini Misri hukumu ishatolewa na anatakikana kunyongwa ijumaa hii huko huko Misri.


Tufanyaje tumuokoe mrembo Fatma maarufu kwa jina la Brown Berry???? Je ubalozi wa Tanzania Misri unaweza kuongea lolote kuhusu ili?
Maana nchi za wenzetu hawaruhusu jambo hili litokee kwa watu wao utasikia tu wanaandamana wanamtaka mtu wao akaukumiwe nchini kwao je kwanini uongozi wetu unakuwa nyuma kufuatia suala hili? Je inamaana watanzania hatuna dhamani? Natamani angekuja kuadhibiwa huku nyumbani maana mrembo huyu anafamilia na mtoto mdogo anaye mtegemea ata angepata fulsa ya kuacha usiha kwa mwanaye.


FATMA AKA BROWN BERRY AKIWA NA MWANAYE


BROWN BERRY AKIWA NA MWENZI WAKE

Can anyone can save Fatma (Brown Berry) life? Only two days left...........
SOOO SAD!!!!!!!

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by : Jeedy Girl
Copyright © 2012. life goes on - All Rights Reserved
Modified by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Jeedy Girl