DASH COMMUNICATION

DASH COMMUNICATION

ZANELLE BONGO LADIES WEAR

ZANELLE BONGO LADIES WEAR

ANDY BEACH

ANDY BEACH

AK

AK

NASAROG

NASAROG

NAKEMEA MAUAJI YA ALBINO

NAKEMEA MAUAJI YA ALBINO

Baby shop

Baby shop

COCO BEACH

COCO BEACH

RJ

RJ

Home » » ZANZIBAR YATAWALA KILIO

ZANZIBAR YATAWALA KILIO

Hii ni kufuatia kuzama kwa meli ya MV.Spice Islander ambayo imeua watu wapatao zaidi ya 200.




                                      Hapa meli ikiwa imezama watu wakitapatapa kuomba msaada 


Watu wakijitahidi kuokoa majeruhi na kuopoa miili ya marehemu

                      Mh. Dk.Shein akitoa heshima zake za mwisho kwa miili ya marahemu waliokufa katika meli ya MV. Spice


Raisi Kikwete akiwafariji wafiwa na kuwapongeza kwa juhudi zao za kuokoa miili ya marahemu pamoja na majeruhi wa katika janga la kuzama kwa meli ya MV. Spice Islander




TUNAIOMBA SERIKALI KUPITIA MKONO WAKE (SUMATRA) KUFUATILIA KWA UKARIBU VYOMBO VYOTE VYA USAFIRISHAJI IWE KWANJIA YA ANGA, MAJINI, RAILWAYS NA BARABARA KWAKUTOA LESENI KWA CHOMBO SALAMA NA KUFUNGIA CHOMBO KISICHOKUWA NA HADHI YA KUBEBA ABIRIA ILI KUZUIA AJALI ZINAZO EPUKIKA.
NAWAPA POLE SANA WAFIWA WOTE NA WOTE WALIOGUSWA NA JANGA HILI KWA NAMNA YOYOTE TAMBUA TUKO PAMOJA.
MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by : Jeedy Girl
Copyright © 2012. life goes on - All Rights Reserved
Modified by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Jeedy Girl