DASH COMMUNICATION

DASH COMMUNICATION

ZANELLE BONGO LADIES WEAR

ZANELLE BONGO LADIES WEAR

ANDY BEACH

ANDY BEACH

AK

AK

NASAROG

NASAROG

NAKEMEA MAUAJI YA ALBINO

NAKEMEA MAUAJI YA ALBINO

Baby shop

Baby shop

COCO BEACH

COCO BEACH

RJ

RJ

Home » » TASWE YAZIDI KUSAMBAA NCHINI TANZANIA

TASWE YAZIDI KUSAMBAA NCHINI TANZANIA

Hivi karibuni Tanzania Saccos for Women Enterprenuers wameweza kufungua matawi Dodoma na Siha nchini Tanzania. Hii inaonesha jinsi gani TASWE imezamilia kukomboa wanawake wa kitanzania na wajasiliamali wote nchi nzima

Mwenyekiti na mwanzilishi wa TASWE mama Anna Matinde alikuwepo kwenye sherehe hizo zakufungua tawi la TASWE Dodoma na TASWE Siha.
Mnamo tarehe 9 / 09 / 2015 TASWE tawi la Dodoma iliweza kufunguliwa kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kujiunga na mfuko huu wa Saccos wasiliana na Katibu wa Taswe Mrs. Lily Matinde kwa namba +255 658 771 863





Baada ya sherehe ya uzinduzi wa tawi la Dodoma mama Matinde akiwa na kamati yake walielekea mpaka Siha huko nako waliweza kufungu ofisi mpya ya taswe kupitia tawi la Siha.








0 comments:

Post a Comment

 
Supported by : Jeedy Girl
Copyright © 2012. life goes on - All Rights Reserved
Modified by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Jeedy Girl