Ilikuwa tarehe 29th June 2016 jiji la Dar es salaam liliamia Karimjee Hall ambapo Mboni Show iliweza kutoa mkono wa ramadhani kwa kufuturisha mamia ya watanzania wakiwemo watu maarufu mbali mbali,
Mgeni rasmi akiwa ni Mama Samia Suluhu na watoto yatima.

Pichani Mboni Masimba akiwa na Makamu wa raisi Mama Samia Suluhu

Kwa mara nyingine Mboni Show imeweza kufuturisha watoto yatima.
Wageni mbali mbali walioweza kufika kwenye Iftar

Wageni mbali mbali walioweza kujitokeza Karimjee Hall kwenye Iftar iliyoandaliwa na Mboni Show
Hoyce Temu

Shamimu Mwasha, Maznat Sinare, Judith Mwaheleja Jeedygirl, Lulu Kiluvia, Monica Joseph, Salma Mzava, Adeline Mushi Rose Mbago na Hoyce Temu

Aunt Ezekiel na Adeline Mushi

Salma Mzava

Jachline Wolper akiwa na Emmy Lukindo mamaa wa Lovtouch

Mh. Paul Makonda na Ben Kinyaiya

Si watu wengi wanaoweza kufanya kitu kikubwa chenye thawabu kama hiki hakika Mboni Show imekuwa mfano. Ubarikiwe kwa kuendelea kutambulisha vituo vya watoto yatima mbali mbali pia kwa kujitolea michango mbalimbali katika jamii hakika jamii inakubali na kuona mchango wako.
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki!
Mgeni rasmi akiwa ni Mama Samia Suluhu na watoto yatima.

Pichani Mboni Masimba akiwa na Makamu wa raisi Mama Samia Suluhu

Kwa mara nyingine Mboni Show imeweza kufuturisha watoto yatima.
Wageni mbali mbali walioweza kufika kwenye Iftar

Wageni mbali mbali walioweza kujitokeza Karimjee Hall kwenye Iftar iliyoandaliwa na Mboni Show


Shamimu Mwasha, Maznat Sinare, Judith Mwaheleja Jeedygirl, Lulu Kiluvia, Monica Joseph, Salma Mzava, Adeline Mushi Rose Mbago na Hoyce Temu

Aunt Ezekiel na Adeline Mushi

Salma Mzava

Jachline Wolper akiwa na Emmy Lukindo mamaa wa Lovtouch

Mh. Paul Makonda na Ben Kinyaiya

Si watu wengi wanaoweza kufanya kitu kikubwa chenye thawabu kama hiki hakika Mboni Show imekuwa mfano. Ubarikiwe kwa kuendelea kutambulisha vituo vya watoto yatima mbali mbali pia kwa kujitolea michango mbalimbali katika jamii hakika jamii inakubali na kuona mchango wako.
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki!
That was a great day ....
ReplyDeleteMungu awajalia tena waweze kuwa wanashiriki vyema event zote za yatima na wenye shida mbalimbali
That was a great day ....
ReplyDeleteMungu awajalia tena waweze kuwa wanashiriki vyema event zote za yatima na wenye shida mbalimbali