DASH COMMUNICATION

DASH COMMUNICATION

ZANELLE BONGO LADIES WEAR

ZANELLE BONGO LADIES WEAR

ANDY BEACH

ANDY BEACH

AK

AK

NASAROG

NASAROG

NAKEMEA MAUAJI YA ALBINO

NAKEMEA MAUAJI YA ALBINO

Baby shop

Baby shop

COCO BEACH

COCO BEACH

RJ

RJ

Home » » UZINDUZI WA MSIMU WA TIGOFIESTA 2016 JIJINI MWANZA

UZINDUZI WA MSIMU WA TIGOFIESTA 2016 JIJINI MWANZA

Mkali wa singeli ManFongo na Shilole wakilivamia jukwaa la Tigo Fiesta 2016 katika tamasha hilo kubwa liliofanyika usiku wa  jana jijini Mwanza na kukutanisha wasanii nguli katika muziki wa kizazi kipya na Msanii wa kimataifa  toka Nijeria Wizkid 


Umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza wakitoa shangwe wakati burudani mbalimbali zikiendelea katika Tamasha la Tigo Fiesta 2016  viwanja vya CCM Kirumba hapo usiku wa jana`.

IMOOOOOOOOOOO

Alikiba alikuwa kivutio kwa mashabiki wengi mara baada ya kufanya suprize na kutoa burudani ya kukata na shoka huku mashabiki zake wakifuatisha nyimbo zake moja baada ya nyingine katika Tamasha la Tigo Fiesta 2016 katika viwanja vya Kirumba Jijini Mwanza


Benpol akilishambulia jukwaa la Tigo Fiesta 2016 lilifnayika jana katika viwanja vya CCM kirumba Jijini Mwanza.
Msanii wa kizazi kipya Dayna Nyange akitumbuiza umati uliohudhuria Tamasha la Tigo Fiesta 2016 jijini Mwanza hapo usiku wa jana.

Mkali wa Singeli anayetamba na nyimbo yake "HAINAGA USHEMEJi"  akitumbuiza jukwaa la Tigo Fiesta 2016 Jijini Mwanza.


Aika na Nahreel (Navykenzo ) nao walifanikiwa kuteka jukwaa la Tigo Fiesta 2016 Jijini Mwanza

Wasanii toka kikundi cha TipTop connections Tundaman na Madee Ali wakitumbuiza mashabiki katika jukwaa la Tigo Fiesta 2016  katika viwanja vya CCM kirumba hapo usiku wa jana .

Weusi wakilishambulia vilivyo  jukwaaa la Tigo Fiesta 2016 Jijini Mwanza hapo usiku wa jana

Msanii wa  kimataifa toka Nigeria Ayodeji Balogun(Wizkid) akitumbuiza katika tamasha la Tigo Fiesta 2016 liliofanyika hapo jana Jijini Mwanza  katika viwanja vya CCM Kirumba

Baadhi ya waandishi wa Habari wakichukua matukio katika tamasha la Tigo Fiesta 2016 wakazi msanii wa kimataifa toka Naijeria Wizkid akitumbuiza katika viwanja vya CCM kirumba usiku wa jana .

Baadhi ya wakazi wa jiji la Mwanza wakishangilia wakati burudani mbalimbali zikitolewa na wasanii waliotikisa jukwaaa la Tigo Fiesta 2016 hapo usiku wa jana katika viwanja vya CCM Kirumba Jijini Mwanza 


0 comments:

Post a Comment

 
Supported by : Jeedy Girl
Copyright © 2012. life goes on - All Rights Reserved
Modified by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Jeedy Girl